Homemichezo Tanzania kumenyana na Malawi kuwania tiketi ya kucheza fainali Africa byHK media -June 26, 2022 0 TANZANIA itamenyana na Malawi katika kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Soka ya Ufukweni baadaye mwaka huu nchini Msumbiji.Tanzania itaanzia ugenini kati ya Julai 22 na 24, kabla ya timu hizo kurudiana Dar es Salaam kati ya Agosti 5 na 7. Tags: michezo Facebook Twitter